Breaking News

MAAJABU...!!! HAWA NDIO WALIOVUNJA REKODI YA DUNIA KWA KUWA WATU WAFUPI KULIKO WOTE DUNIANI...

GUINNESS WORLD RECORDS mwaka 2013 katika chunguzi  ambazo wamezifanya katika mwaka huu wamegundua kwamba hawa Ndio watu walio wafupi zaidi duniani kutokana na vipimo na taarifa mbalimbali zilizo za huhakika kutoka kwa wanahabari wao na wanasayansi mbalimbali
 Bw Chandra Bahadur Dangi na Bi Jyoti Amge 




TAZAMA VIDEO HII

Designed By Blogger Templates