Breaking News: Nyumba 6 zimechomwa moto
katika Kijiji cha VODA ,Tarafa ya Mbwewe Mkoani Pwani,baada ya wanakijiji
kuvamia gari la mizigo lililokuwa limebeba mitumba kuanguka na kufunga barabara
lililoanguka na kufunga barabara ambapo wakazi hao
walianza kupora hali
iliyosababisha wenye mizigo kuingia kijijini kuwasaka waliopora mizigo hiyo.
Kamanda
wa usalama barabarani Chalinze Afande Sule amesema sehemu ya barabara
hiyo ya Chalinze-Segera imefungwa na kusababisha abiria kutoka Dar Es Salaam
kwenda tanga,Kilimanjaro na Arusha kukwama.