Wednesday, April 23, 2025

Breaking News
>> DADA ZETU SIKU HIZI MNABOA SANA KWA HAYA MAVAZI YENU..!!  >> VIDEO : MWANACHUO AFUMWA AKICHEZA NUSU UCHI KWENYE MTANDAO WA SKYPE BAADA KUDANGANYWA NA MZUNGU ALIYEKUWA ANACHAT NAE...  >> MWANAFUNZI WA CHUO KIKUU NCHINI AJIUZA KWA KUWEKA PICHA ZA UCHI KWENYE PROFILE YAKE YA FACEBOOK   >> BAADA YA PICHA ZAKE ZA UTUPU KUSAMBAA, WATU WAMPA MAKAVU LIVE MISS TZ REHEMA FABIAN...  >> NAPENDA WAPENZI WA MTANDAONI ,ILA TUKISHA ''DO'' SIWAPENDI TENA...  >> Unajua athari za kuitana sweet, dear, baby katika mapenzi...?? SOMA HAPA NKUJUZE.    

BREAKING NEWS: AJALI...!! BASI LA BUNDA EXPRESS LAGONGANA NA TRENI, WATU 4 WAPOTEZA MAISHA...

 
Basi la Bunda Express lililokuwa likitokea Dodoma kwenda Mwanza asubuhi hii limegongana na Treni Eneo la Manyoni mkoani Singida.

 
Kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka eneo la tukiokinasema kuwa watu wanne wamefariki dunia na kadhaa kujeruhiwa.
Majeruhi Tayari wamepelekwa kwenye Hospitali ya Wilaya ya Manyoni.

Chanzo:djseck blog
Designed By Seo Blogger Templates